Search

Translate

UNAWEZAJE KUJUWA IANA YA JINI AU KIUMBE ATAKAE WEZA KUKUSAIDIA KATIKA MAISHA YAKO?

UNAPO TAKA KUWATUMIA MAJINI UNAPASWA KUJUWA AINA ZA MAJINI AMBAO UTAWEZA KUWATUMIA KATIKA KAZI ZAKO

Majini ni viumbe ambao wana dunia yao pia wana matabaka aina mbalimbali pia wanatofautiana katika maumbile jinsia na nguvu na makabila aina mbalimbali

Mjini 

Kuna aina nyingi za majini hapa nitakuelekeza aina zote ambazo unapaswa kuzijuwa ili ujuwe njia za kuwatumia kila aina za majini 

MAJINI WAPO KATIKA MAKUNDI 3

1.Majini wano Ruka angani / pepo / mbawa

2.Majini aina za wanya aina mbalimbali

3.Majini aina ya wanadamu

Hizo ni aina za majini na makundiyao majini wapo tofauti sio kama walivyo viumbe wengine ka wanadamu majini wameubwa katika maumbile mbalimbali pia wanazidiana katika aina katika hizo aian 3 ndani yake kunaaina za makabila ya majini wote 

AINA ZA MAKABILA YA MAJINI

Majini wanamakabila mengi pia wanajinsia tofautitofauti pia hata katika nguvu wanatofautiana katika maisha na aina za tabaka

Kuna aina za kabila ambazo ni 10

1.IBILISIA

2.SHAYITWANIYA

3.MARADIYATI

4.AFARITIYATI

5.AAWANIYATI

6.GAUSUNIYATI

7.TWAYIRUNIYATI

8.TWABIYATI

9.QARNAYATI

10.AMARATI

11.RAUHANIYATI

12.UMI SUBIYANATI

13.ASHIBAHATI

14.HUBIYATI

15.BURHANATI

16.TWAYISHIYATI

Hizi ni kabila za majini wote katika maisha na ulimwengu wamajini wanatofautiana katika kila aina za mabo na sehemu wanao ishi 

TABIA

Majini wanatofautiana katika tabia zile 4 Ambazo kila aina za koo zinakuwa natabaka na nguvu na uwezo wakufanya kazi kutokana na aina za tabia majini wana gawanishika katika {TABIA 4}katika hizo tabia kuna maanakubwa sana kwani kala kiumbe kinacho ishi katika maisha ya huu ulimwengu kinakuwa na tabia zake 

pia vile vile hata kwa wanadamu nawao pia wana tabaka na makabila na aina ya maisha na maumbile pia wanatofautiana katika tamaduni na tabia


NGUVU ZA MAJINI

Majini ni viumbe walio umbwa namungu ambao wanaishi na waliwahi kuwa ndio viumbe wakwanza kuishi katika dunia hii kambal ya mwanadamu 

Majini wameumbwa katika kila aina ya sifa zao majini wameumbwa kutokana na moto tofauti na mwanadamu ameumbwa kwa udongo

Majini wananguvu tofauti na kiumbe chochote wanauwezo wa 

1.KUJIGEUZA CHOCHOTE ANACHOTAKA

2.ANAUWEZO WA KUJIFICHA SEHEMU YOYOTE

3.NIWENYE UWEZO WA KUISHI KWA MIAKA MINGI ANA KARNE NYINGI

4.NIWENYE MIUJIZA MINGI 

5.NIWENYE ELIMU KUBWA SANA KATIAK HII DUNIA 

majini wanasifa nyingi sana na wanatofautiana katiaka maisha yao kila aina ya kabila la majini wana kuwa na na tamaduni zao na vitu vyao na utajiri wao 


JINSIA ZA MAJINI

Majini wa na jinsia 3

1.MAJINI WAKIUME

2.MAJINI WANAWAKE

3.MAJINI WASIO KUWA NA JINSIA YOYOTE

MAjini wameumbwa katika aina mbalimbali za jinsia na maumbile tofautitofauti wapo tofauti na wanadamu 




0 Reviews:

Contact Form

Name

Email *

Message *