Search

Translate

mtu anaweza kujifunguwa kwenye vifungu vya mizimu ya kiasilia na matatmbiko yao

 

MTU ANAWEZA KUFUNGWA NA MIZIMU KATIKA MAISHA YAKE

Tunapo sema vifungu vya mizimu tunamaanisha kuwa kuto kuweza kufanya chochote katika maisha  au katika kazi zako

Kunawatu wanapata shiza za kimaisha kwa sababu ya vifungu vya kimizimu ambavyo vinaweza kuwa vilifanyika toka huko zamani kwa mababu na mababu ambao walikuwa na mikataba yao na mizimu yao halafu haikutimizwa huwa wanao zaliwa baada ya hao wazee  kama na wao hawa kufatilia huwa na wao wanapata matatizo ya aina mbalimbali kama

1.MAGONJWA SUGU

2,MATAATIZO SUGU

3.VIFO VINGI VYA KILA MARA KATIKA KOO AU FAMILI

4.KUPOROMOKA KWA MALI UTAJIRI BIASHARA KAZI KUACHWA  NA NK..

Unapo kuwa katika haya matatizo unaweza kujuwa kua ni amri ya mungu lakini inakuwa sio pia unaweza kushindwa kuwa vizuri katika kila jambo mpaka ukajiona wewe ni mnyama MIZIMU ni viumbe hatari sana ambao wanamuhusu mtu husika katika shuguli zao

 

MIZIMU NA UCHAWI

Mizimu wakiamuwa wanauwezo wakuliloga koo kwa aina Fulani ya tatizo na wanafamilia wote wakawa wana ugonjwa Fulani ambao unakuwa ni ugonjwa wa koo pia MIZIMU inauwezo wa kulifanya koo likwa koo la kitajiri kama

1.KOO TAJIRI  MALI

2.KOO LENYE ELIMU UTAWALA

3.KOO LA UFUNDI INJINIA

Pia miziu wanauwezo wakuliharibu koo kwa sifa yoyote kama

1.KOO MASIKINI

2.KOO LISIOKUWA NA ELIMU WALA UTAWALA

3.KOO LISILO KUWA NA CHOCHOTE

Mizimu wanauwezo mkubwa  sana katika damu yamtu husika kuliko kiumbe yoyote na unapo taka kuwa nakiumbe yoyote nilazima huyo kiumbe awe ni mwenye kuweza kuendana nao nakama hawato endana na huyo jinni basi huyo jinni hatoweza kuwa na nguvu na huyo mtu

USIWE NA MASHAKA KATIKA KUWA  TUMIA MAJINI AU KUWA ODOSHA MASHETANI

Kuna ushahidi mkubwa sana katika kuwatumia majini kwa ni mitume na manabii na viongozi wa dini na wazee wetu wa kale wali watumia majini katika kila jambo ili uweze kujitowa wasiwasi juu ya kuwatumia majini somahapa na pata njia za kukusaidia {KUWATUMIA VIUMBE AINA YA MAJINI KUNA USHAHIDIGANI AU USIBITISHO?} katika linki hiyo utajuwa 

0 Reviews:

Contact Form

Name

Email *

Message *