KUNA MKATABA GANI UNAPO KUWA NA JINI
Maniji wana kuwa na mikataba kwamtu anae kuwa anawataka hao majini kwa sababu za matumikio ya majini kwa mtu tunapo sema mikataba kunakuwa na maana gani mikataba inamaanisha ni aina ya maneno ambyo yana fanyika wakati unapo mpata jinni yani kwa kukubaliana na jinni aweze kukfania kile unacho kitaka
KUNAAIAN NGAPI ZA MIKATABA
Kunaaina nyingi za mikataba ambayo inatofautiana na aina ya jinni utakae kuwa nae kwa kilajini anakuwa na aina ya mkatba wake kwako wa kufanya aina uya mambo Fulani na ato fanya aina ya mambo Fulani unapokuwa nae kunamambo unakuwa unajuwa namna mlivo kubalianan kuna aina ya mikataba aina 4
1.mkataba wajini kwa mtu anae mtaka huyo jinni
2.mkataba wa jinni na mtu kwa kazi maalumu au kazi husika na sikazi nyingine
3.mashariti ya huo mkataba
4.mkataba wa muda wa kuwa na jini
Hizi ni aina 4 ambao zina maanakubwa sana kwamtu anae taka kuwa na jinni katika shuguli zake kila jambo ili lifanikiwe nilazima liwe na makubaliano ya viumbe 2 na zaidi pia hivyo hivyo nilazima kuwe na makubaliano katika matumikisho ya jinni nahii ni kosa kubwa sana kwamtu anae kuwa najini halafu hakufanya makubaliano mazuri itrakapo anza tatizo la yeye na huyo jinni huwa hakuna anae weza kumaliza tatizo hilo ni mpaka mungu atake
MKATABA 1
1.mkataba wajini kwa mtu anae mtaka huyo jinni
Kunamaanakubwa sana kwamtu kabla ya kuwa najini kwanza ajuwe jinni atakae kuwanae jinni Yule atakuwa na makubaliano gani .kwasababu utakapo kuwa najini bila kujuwa mkataba wake kunamajini ambao ili waweze kufanya unachotaka huwa nanata uwafanyie baadhi ya vitu kama kafara dawa na aina za vitu vingine ambavyo hivyo ndio utaratibu wao hao majini kwa hiyo unapo kuwa unajuwa kuwa jinni unae mtaka ili aweze kukufanyia unacho taka yeye utakuwa unampa nini
Pia kuna majini amabo wao wanaweza kukwambia kafara zao ni sadaka kwakuwapa watu vyakula pesa na misaada mingine piaa wanaweza kukwambia uwe mwenye kufanya maombi Fulani kwa siku Fulani au uwe ni mwenye kufanya jambo Fulani kwa siku Fulani
Unapokuwa mtaka jinni kwa unatakiwa kujuwa niaina gani za mkataba utakao kuwa nao kwa huyojini
MKATABA 2
2.mkataba wa jinni na mtu kwa kazi maalumu au kazi husika na sikazi nyingine
Unapo mtakajini nilazima uwe unakazi au jambo ambalo ni mahususi kwa ajili ya kumkabidhi jinni alifanye liwe
1.biashara ukihitaji akuvutie wateja wawewengi
2.biashara akuletee pesa nautajiri wa aina Fulani kwa kupitia kitu Fulani
3.unataka akulinde zidi ya maadui na watu wabaya au wachawi
4.ukihitaji kuishi nae kama mke au mume
5.ukimuhitaji kwa kazi za kawaida
Utatakiwa kumpa aina ya maneno ambayo ndio kazi yake kwako ambayo ataifanya kwa muda utakao kuwa mmekubaliana na huyo jinni usipo kubaliana nae katika kazi amabyo unayo itaka hato weza kufanya chochote kwa sababu hujafanya nae mkataba wowote
MKATABA 3
3.mashariti ya huo mkataba
Mashariti ni muhimu kuwanayo na kuya fanya katika kuwa najini unapokuwa na jinni unatakiwa kuwa na mashariti ambao nikama kifungo kwako na kwake
Kwamba haitakiwa kufanyika jambo Fulani siku Fulani iwe kwako au kwa huyojini
MKATABA 4
4.mkataba wa muda wa kuwa na jini
Nilazima ujuwe muda unao taka kuwanae huyojini ili unapo fanya mkataba na jinni huyo basi ajuwe kuwa atakaa kwako kwakufanya kazi kwamuda Fulani au mpaka ufe unapo kaanajini bla mkataba wamuda madharayake huwa nimakubwa sana haswa kwa wanao wanao baki duniani

0 Reviews:
Post a Comment