KUNANJIA GANI ZA KUMVUTA JINI
Tunapo taka kumvutajini kwanza kunamambo yanpaswa kufanyika ambayo ndio yatatowa maelekezo ya aina ya jinni na namna ya kumvuta na kumtumia aina hiyo ni
Kufanya uchunguzi kwako na jinni ambae utatakiwa kuwanae baada ya uchunguzi ndio utakuwa unajuwa jinsi ya kumpata jinni na kumtumia kwakujuwa namna ya kufanya UCHUNGUZI unaweza angalia katika ukurasa huu katika mada zetu
NJIA ZA KUMFUTAJINI BAADA YA KUMATA
Baada ya kuwa umesha pata hatuwa zote ambazo zinakuonesha namna ya kuanz kumuandaa jinni huyo na ni vitugani utatakiwa kuvi fanya ili jinni aweze kuja katika baadhi ya vitu muhimu ni
1.MANENO YA KUMWITA JINI
2.SEHEMU YA KUMUITIA YANI ROOM AU CHUMBA
3.SEHEMU KATIKA ROOM AU CHUMBA AMBAYO UTA KAA KUMUITIA
4.AINA YA MAMBO UTAKAYO YAFANYA UKIWA NDANI YA CHUMBA AU ROOM
5.NGUO ZA KUVAA WAKATI WA KUMWITA JINI HUSIKA
6.NEMBO AU ALAMA AU LOGO AMBAYO UTAITUMIA KUMUITIA JINIMBELEYEKO
7.AINA YA MANUKATO UTATAKIWA KUYA WASHA AU KUYA FUKIZA AU KUYA WEKA ILI JINI AJE
8.MAMBO UNAYO TAKIA KUYAFANYA ILI KUKAMILISHA NJIA YA KUMTUMIA JINI
9.PETE UTAKAYO KUWA UNA TUMIA KUVUTA CHOCHOTE UKIWA POPOTE
Unapo taka kumtumia jinni nilazi uwe navitu vyote hivi ambavyo vitakuwezesha kujuwa njia za kuweza kumtumia jinni awezea kukupa mali mbalimbali
Huvivitu vyote vina andaliwa na wewe mwenye we unae taka kumtumia jinni kwa manufaa yako binafsi baadhi ya watu wanajuwa unapo mtaka jinni basi nikazi rahisi ambayo unampata tuu jinni na hapo hapo anakupa mali unaanza kutumia ingikuwa ni rahisi hivyo basi watu wote wangekuwa matajiri
Kila kitu kina kuwa na utaratibu wake kunawatu wano wadanganya watu na kuwatapeli kuhusu mali za majini na watu wengi wameshatapeliwa kwakuhitaji njia za kuwapatta majini
Huwezi kumpatajini kwa njia za ujanja ujanja nilazima ufate taratibuzote zinazo hitajika utoweza kumpata jinni kama utakuwa unataka vitu vya ujanja ujanja nilazima unapo taka vitu hivi nilazima usome na kujuwa unacho kitaka kikoje na kina faidagani na hasaraganikwako
WATU WANA TUMIA MALIZA MAJINI?
Kunawatu wanatumia mali za majini katika maishayao pia wanakuwa na jambo la kutokuwa wanawambia watu kwasababu unapo kuwa na kiumbe wako haitakiwi kumwambia kilamtu kwasababu hiyo ndio sehemu ya siri ya maisha yako kunawatu wanatumia majini katika
1.BIASHARA / KUVUTA WATEJA KUVUTIA BIASHARAZAO
2.KAZI ZA KISEREKALI VIWANDA VYA AINA ZOTE
3.ELIMU / MALI /UTAJIRI/
Wlio na sirihizo huwezi kujuwa kama wanatumia majini wazuri na wabaya katika kuweza kujipatia mali na utajiri wa aina yoyote anakuwa nao sasa kunawatu wanatafuta mali halafu wanakuwa hawa siri za kazizao pia unapo taka kufanikiwa nilazima uwe mwenye kuwa na siri katika mambo yako sio kilamtu anawea kujuwa sirizako
KUWAAMINI MAJINI KATIKA UTAJIRI WAKO
Unapo taka kuweza kumjuwa jinni wako na awezea kukupa siri na njia nyingi za kufanikiwa nilazima uwe na ujasiri ambao utatakiwa kuwanao katika kuvumilia wakati una pata matatizo mbalimbali pia unatakiwa kuwa mvumilivu wa kujiziwia kutokwa mtu mbaya kwa watu wenzio na kuwa mtu mwenye tabia nzuri za huruma ukiwa hivyo majini wale wazuri huwa wana penda mtu mwenye tabia hizo
USIWE NA MASHAKA KATIKA KUWA TUMIA MAJINI AU KUWA ODOSHA MASHETANI
Kuna ushahidi mkubwa sana katika kuwatumia majini kwa ni mitume na manabii na viongozi wa dini na wazee wetu wa kale wali watumia majini katika kila jambo ili uweze kujitowa wasiwasi juu ya kuwatumia majini somahapa na pata njia za kukusaidia {KUWATUMIA VIUMBE AINA YA MAJINI KUNA USHAHIDIGANI AU USIBITISHO?}katika linki hiyo utajuwa

0 Reviews:
Post a Comment