
UNAWEZAJE KUJUWA AINA ZA KIUMBE ATAKE WEZA KUWA NI MSAADA KWAKO
Unapo taka kujuwa wewe unaweza kuwa na jinni wa aina gani au unae weza kumpata unatakiwa kufanya uchunguzi wa data zako yani kwa kuchunguza vitu vifuatavyo
1.JINA LAKO KAMIOLI
2.JINA LA BABA YAKO KAMILI
3.JINA LA MAMA YAKO KAMILI
4.JINA LA KOO KAMILI
5.JINA LA FAMILIA
6.AINA YA KAZI AU ELIMU AU FANI ULIONAYO
7.AINA YA MAHUSIANO ULIO NAYO /NI MUME AU MKE KATIKA NDOWA AU MAPENZI
8.UMRI WAKO
Hizo nitaarifa ambazo zinafanyiwa uchunguzi kwa ajini yakujuwa wewe unaaina ya vitu vya aina gani katika
1.NYOTA YAKO NA SIKU YA MALI SIKU YA UTUKUFU WAKO NA SIKU YA KIFO
2.KUJUWA AINA ZA MIZIMU YAKWENU NA KUJUWA AINA YA MALI ZA KIFAMILIA NA KUJUWA PAWA AU NGUVU ZA MIZIMU YENU PIA KUJUWA AINA ZA FANI YA KOO LENU NA AINA YA TAMADUNI ZENU NA MATAMBIKO YENU
3.KUJUWA AINA ZA NYOTA ZA WAZAZI WAKO NA ASILI ZAO NA MBO YANAYO WAHUSU KATIKA MILAZAO NA MALI ZA FAMILIA ZAO
4.PIA INATAKIWA KUJUWA AINA ZA KAZI UNAZO FANYA KWA SABABU UNAPO TAKA KUWA NA JINI NILAZIMA UJUWE AINA ZA KAZI UNAZO FANYA ILI ZIWEZE KUWA PAMOJA NA KAZI ZA HUYO JINI
5.UMRI NI SEHEMU YA KUJUWA KUWA UNAWEZA KUKUTANISHWA NA AINA GANI YA JINI AMBAE MTAKUWA MNAENDANA UMRI KWA SABABU KUNA MJINI WANAKUWA NAUMRI MKUBWA SANA HAWAWEZEKUWA NA MTU MWENYE UMRI MDOGO SANA HUWA WANATAKA WAWE NA MTU MWENYE UMRI MKUBWA NA WADOGO WAWE NA WENYE UMRI MDOGO
Baada ya kuwa umesha juwa taarifazako zikoje ndipo unaweza kujuwa aina za majini wanao weza kuwa na wewe katika kazi mbalimbali ambazo utaweza kuwatumia katika kazi zako mbalimbali hutoweza kumpata jinni wala kumtumia kwa sababu utakuwa hujajuwa ni aina gani ya data zako na kinacho husu data zakokatika maisha yakokwahiyo nilazima ufanye UCHUNGUZNI WA DATA ZAKO KAMILI ili uweze kujuwa ni ainagani ya data zako ili uweze kujuwa ni aina gani za jinni utakae weza kuwa nae baada ya kumaliza uchunguzi wako ambao uta towa majibu halisi kuwa weweunahusika na vitu vifuatavyo
1.SIKU YA MALI NA UTAJIRI WAKO NISIKU GANI
2.AINA YA KAZI UNAYO TAKIWA KUIFANYA ILI UWE TAJIRI AU MALI
3.AINA ZA MAHUSIANO YA KINDOWA UNAYO TAKIWA KUWA NAYO
4.AINA ZA FANI NA ELIMU NA NJIA UNATAKIWA KUJIFUNZA ILI UWEZE KUWA NA MALI
Baada yakuwa mesha juwa aina ya mambo unayo takiwa kuyafanya nndipo utatakiwa kujuwa aina yajini ambae utaweza kuwa nae
JINI ANATAFUTWA KWA NJIAGANI
Majini wanatafutwa kwanjia nyingi lakini njia kuu ni 2
1.KIDINI / KWA MAANDIKO MATATIFU / QURAN KARIMU / BIBILIA TAKATIFU
2.KIMILA / KWA MATAMBIKO YA KIASILIA KWAMTU HUSIKA
Hizi ndio njia maalu mabazo zinatumika kuwapata majini na kuwa juwa kuna elimu kubwa sana katika kuzitumia utakapo takakujuwa elimu hii unapswa kujifunza katiaka maelezo yetu hapa JINSI YA KUMTAFUTA JINI anae weza kukupa mali na utajiri
KUNAAINA NGAPI ZA MAJINI WA MALI NA UTAJIRI
Kuna aiannyingi za majini ambao wana tofautiana katika kila aina za mambo ka ma katika jambo kuu la kitabia ambazo hizo tabia ndio kiungo kikubwa sana katika viumbe wote hakuna uhusiano wowote wa kiumbe na kiumbe kama hakuna tabia zinazo endana amazo ni MOTO / UDONGO /UPEPO /MAJI hizi tabia ndio kiungo kikubwa kwa viumbe pia huwezi kuishi wala kufanikiwa katika maisha yako bila kujuwa tabia za vitu unazo zifanya au maisha katka hizo tabia 4 kunatabia ambazo zikikutana ni uwaduwi mkubwa sana na hupelekea mmoja katika hao maadu kufa kabisa pia katika hizo tabia 4 kuna tabia ambazo zikikutana zina fanya mambo kwapamoja na zina peana nguvu sana katika mambo mbalimbali
TABIA 4 ZINA KUWA NA SIFA ZA MALI GANI
Hizi sifa 4 zinakuwa nasifa kutokana na aina ya maumbile yake kama
1.KIUMBE MWENYE TABIA YA MOTO
Tabia hii ya moto nitabia ambayo ndio yenye nguvu kuliko tabia zingine kuliko zote kwa sababu inakuwa na mambo yafuatayo
1.NGUVU ZA KUENDESHA KITU CHOCHOTE
2.NGUVU YA KUANGAMIA KITU CHOCHOTE
3.MALI ZA TABIA HII NI AINA ZA VITU VINAVYO TUMIA MOTO TUNAPO ZUNGUMZIA VITU VINAVYO TUMIA MOTO TUNA MAANISHA KILA CHENYE ASILI YA JOTO HILI NIKATIKA UMILIKI WA TYABIA YA MOTO
Katika tabia 4 tabia inayo endana na moto ni tabia ya UPEOP
2.KIUMBE CHENYE TABIA YA UDONGO
Tabia ya udongo nitabia ya 2 katika tabia 4 ambayo inanguvu na ni ya pili kwangu kuliko nyengine zote tabia hii ina husiana na aina za mambo ya fuatayo
1.MALI UTAJIRI WA KILA KINACHO TOLEWA KATIKA TABIA YA UDONGO
Tabia inayo endana na tabia ya UDONGO ni MAJI ambayo yanampa nguvu udongo kuwa na uzito hivyo basi kiumbe chenye tabia hizi kinatakiwa kuwa na mambo hayo
3.KIUMBE CHENYE TABIA YA UPEPO
Tabia hii ya UPEPO ni tabia ya 3 katika tabia 4 ambayo ina endana kama tabia ya MOTO kwani tabia hizi mbili ni kama ken a mume au ndugu wanao saidiana katika kila aina ya shida
4.KIUKME CHENYE TABIA YA MAJI
Tabia hii ni ya 4 nandoo tabia yamwisho katika tabia 4 hii tabia inaendana na tabia ya UDONGO abao zinapo kuwa pamoja zinakuwa nanguvu sana na kuweza kupambana na maaduwi zao ambao ni MOTO na UPEPO
Tabia hizi ndio zinazo weza kukutanisha na jinni kama jinni anatabia za moto na wewe una tabia za moto basi jinni huyo ata weza kukusaidia katika kazi na kukupa mali na utajiei nakam itakuwa wewe tabia zako ni udongo na jinni ni upepo hapo huto fanikiwa kwa sababu wewe na huyo jinni mpo tofautikabisa
Unatakiwa kufanya uchunguzi wakina katika kujitafutia mafanikio katika maisha yako iliuweze kuyapata maisha yako mazuri
MALI ZAMAJINI
Majini wanamali tofauti tofauti kunamajin na mizimu wanatofautiana katika mali na utajiri katika utofauti wao ni kuwa najini mwenye tabia za
MOTO
Jinni lenye tabia za moto uwa malizao ni kuwa tajiri wa vitu vya moto yani umeme kama
1.MAKAMPUNI YA KUTENGENEZA MAGARI NA KUUZA
2.VIWANDA VYA KUTENGENEZA VITU VYA MOTO NA UMEME
3.UTAJIRI WA MAGARI
UDONGO
Majini wenye tabia za udongo huwa wana husika na aina za mali au utajiei unatokana na
1.KAMPUNI ZA KILIMO
2.MAKAMPUNI YA UTENGENEZAJI WA VITU VYA UDONGO
3.MALI NA UTAJIRI UNAO TOKANA NA KILA KINACHOTOKANA NA UDONGO
UPEPO
Majini wenye tabia za upepo wanakuwa wanaendana na majinim wenye tabia za MOTO katka kila aina za mambo
MAJI
Majini wanakuwa na tabia ya maji huwa wanaendana na majini wa UDONGO katika kila aina za mambo mbalimbali
Unapo taka kujuwa njia na kumpata jinni unatakiwa kuwasilia nasi kwakukufanyia uchunguzi ambao utatuwezesha kukupa maelekezo ambayo yatakupa njia za kuweza kuwatumia majini
Kwamamelezo ya JINSI YA KUFANYA UCHUNGUZI unaweza angalia katika link UCHUNGUZI KAMILI
USIWE NA MASHAKA KATIKA KUWA TUMIA MAJINI AU KUWA ODOSHA MASHETANI
Kuna ushahidi mkubwa sana katika kuwatumia majini kwa ni mitume na manabii na viongozi wa dini na wazee wetu wa kale wali watumia majini katika kila jambo ili uweze kujitowa wasiwasi juu ya kuwatumia majini somahapa na pata njia za kukusaidia {KUWATUMIA VIUMBE AINA YA MAJINI KUNA USHAHIDIGANI AU USIBITISHO?} katika linki hiyo utajuwa
0 Reviews:
Post a Comment