MAJINI WANAWEZA KUMPA MTU MALI AU TAJIRI?
Katika uwezo ambao mungu amewapa majini katika uwezo wa kutengeneza pesa na njia za kukupa utajiri uwezo wanao wanauwezo wakuishi namtu na wakampa chochote ambacho mtu anataka katika kumpa tu mali zo kuwa wanakuwa na mambo yao nilazima uyafanye ili uweze kupata malizao
AINA ZA MALI ZAO
Majini wa uwezo wakukupa mali yoyote unayo itaka ila hawatoi mali bila kujuwa kujuwa wewe ni mtu wa aina gani unaweze kuendanan nao au huwendinao kitabia wanuwezo wakukuapa
Unaweza kubofya katika kila elezo katika hayo maelezo 8 ili uwezekujuwa kiundani kamili
1.MALI NA UTAJIRI WA KILIMO MAZO MAVUNO
2.MALI NA UTAJIRI WA BIASHARA ZA MAGARI NA VITU VYAA MOTO
3.MALI NA UTAJIRI WA BIASHARA ZA MEMEA NA FAKA
4.MALI NA UTAJIRI WA BIASHARA ZA BIDHA ZA KAWAIDA
5.MALI NA UTAJIRI WA UWAJIRIWAJI KATIKA SEREKALI KITENGO KIKUU
6.MALI NA UTAJIRI WA UFUNDI UTENGENEZAJI WA VITU VYOVYOTE
7.MALI NA UTAJIRI WA ELIMU NA FANI ULIO NAYO
8.MALI NA UTAJIRI WA INJINIA UDEREVA WA NDEGE
Majini wana msaidia mtu kutokanan na aina yamtu pia na aina ya jinni anae husika na jambo Fulani pia wanafanya hayo kutokana na mashariti mlio kubaliana ili uweze kujuwa MASHARITI na MAKUBALIANO unatakiwa kujuwa JINSI YA KUMPATA JINI kasha utajuwa namna ya kukubaliana ili aweze kukufanyia katika hayo mambo 8
Kila kiumbe anahusika na mambo yake pia hakuna kiumbe ambae anawezea kukufanyia hayoyote kwa jinni mmja aipokuwa utatakiwa kuwa na kila jinni ambae anakuwa na fani yake ambae utamtumia kwa mambo yako unayotaka
UNAPASWA KUCHAGUWA AINA YA KAZI AMBAYO UNAYO IFANYA
Unatakiwa uchaguwe aina ya utajiri na mali unao tiaka ili uweze kujuwa ni jinni wa aina gani ambae ataweza kukusaidia katika kukupa vitu hivyo
Kunawatu wanataka kupata mali nautajiri kwa kuletewa na majini bila kufanya kazi yoyote unapo taka mali bila kuzifaniakazi utapaswa kujuwa utapata mali lakini zinamashariti magumu pia wanao towa hizo mali za aina hizo ni aina ya majini mashetani ambao wanakupa mwishowe haukae mudamrefu unapatwa na matatizo mazito
Wapo majini wanao weza kukupa mali bila kufanya kazi yoyote lakini hasarayake huto dumu kuanzi wewe na familia yako
UNACHO TAKIWA NINI UFANYE?
Unatakiwa kuchaguwa aina ya kazi unazo zifanya kasha ndio umpate jinni atakae kuwezesha kukupa uwezo wakukuza kazizako za fani ulio nayo ambe atakukuzia jina uwezo na kukupa mali ambazo zitatokana na fani ulio nayo na sio kupewa mali za jinni husika bila kuwa na kazi yoyote
Sisi hatushauri kwamtu kutafuta jinni akiwa hana fani yoyote au kazi yoyote kutokana na matatizo ambayo watu wengi wanapata kupitia majini aina ya mshetani katika kuwapa mali na utajiri kunamtatizo mengisana hivyo basi hatushauri kwamtu kutafuta mali za majini akiwa hana sababu yoyote ya kumfanya yeye apewe jinni au mali za jinni
Jinni mwenye mali huwa anapenda ampe mali mtu mwenye anakuwa nafani yoyote ambayo jinni ataipenda kumpia mali kupitia hiyo faniyake
Kunawatu wanao taka pesa za majini na utajiri na mali za majini bila kufanya kazi yoyote ndipo wanapo tapeliwa na wataalamu wanao tengeneza njia za kuwapa majini
USIWE NA MASHAKA KATIKA KUWA TUMIA MAJINI AU KUWA ODOSHA MASHETANI
Kuna ushahidi mkubwa sana katika kuwatumia majini kwa ni mitume na manabii na viongozi wa dini na wazee wetu wa kale wali watumia majini katika kila jambo ili uweze kujitowa wasiwasi juu ya kuwatumia majini somahapa na pata njia za kukusaidia {KUWATUMIA VIUMBE AINA YA MAJINI KUNA USHAHIDIGANI AU USIBITISHO?}katika linki hiyo utajuwa

0 Reviews:
Post a Comment