Search

Translate

kuna alamagani ambayo unatakiwa uwenayo ili jini aweze kukutii na kufanya unachotaka wewe

ALAMA ZA MAJINI NA NEMBO VINA MAANA GANI

Unapokuwa na jinni nilazima uwe na alama au logo ambayo inakuwa ina muwakilisha kiumbe utakae kuwa nae pia hiyo logo au alama inakuwa nisehemu ya kuwa anakaa huyo jinni  unapo kuwa na jinni nilazima uwe na ian za ya vitu hivi

1.ALAMA YA KUMWITA JINI

2.ALAMA ZA KUMTUMIKISHA JINI

3.ALAMA ZA KUWEZA KUMTUMA JINI AKULETEE KIYU CHOCHOTE

Alama hizo kuwa zina wekwa katika aina za vitu aina 3

1.KITAMBA KIKUBWA AMBACHO KINA WKWA NDANI YA CHUMBA AU ROOM

2.KITAMBAA AMBACHO UTAKUWA UNA KITUMIA KUKIKALIA WAKATI WA KUMTUMI JINI

3.AINA ZA MAVAZI AMBAYO UTAKUWA UNAVAA

4.AINA YA PEYTE AMBAYO ITAKUWA INA ALAMA NA LOGO YA JINI HUSIKA

Vitu hivyo ni muhimu kwa mtu anae taka kumtumiajini utakapo kuwa huna vitu hivyo huto weza kumpata jinni mzuri ambae atakupa mali  na utajiri

 

ALAMA NINI

Baadhi ya watu wanajuwa lama ni sehemu ya uchawi au ushetani  lakini alama ni sehemu ya makazi au kitu kinacho onesha mambo Fulani kwa alien a hiyo alama

Kuna elimu kubwa sana katika alama tuna amini kuwa kila jambo lina maana yake na sirizake kwahivyo unapaswa kujuwa kila jambo unalo litaka unatakiwa kulijuwa undani wake ili  uweze kujuwa jinsi ya kuweza kufanikiwa katika maishayako alama nisehemu muhimu kwamtu na inamaanakubwa sana katika maisha yamtu au kiumbe mwenye zimungu kaumba kila kiumbe kakipa alma yake na logo yake katika dunia

 

USIWE NA MASHAKA KATIKA KUWA  TUMIA MAJINI AU KUWA ODOSHA MASHETANI

Kuna ushahidi mkubwa sana katika kuwatumia majini kwa ni mitume na manabii na viongozi wa dini na wazee wetu wa kale wali watumia majini katika kila jambo ili uweze kujitowa wasiwasi juu ya kuwatumia majini somahapa na pata njia za kukusaidia {KUWATUMIA VIUMBE AINA YA MAJINI KUNA USHAHIDIGANI AU USIBITISHO?} katika linki hiyo utajuwa

 

0 Reviews:

Contact Form

Name

Email *

Message *