Search

Translate

kuna mashariti gani kwamtu anae kuwa najini au anataka kuwanajini?

 

NI AINA GANI ZA MASHARI YA MAJINI

Kuna aian nyingi za mashariti natunaposema mashari tuna maani shanin. Tunacho maanisha kila jambo linakuwa na utaratibu wake maalumu kuna mambo unayopaswa kuyanfanya na kunapmambo hupaswi kuyafanya

 

Kunaian za majini ambao hawawezi kuwa nakiumbe chenye tabia tofauti na zakao kama katika tabia zile 4 amazo mwenye zimungu mtukufu ameumba viumbe wote kasha akagawanisha kila kiumbe katika tabia 4 ambazo

1 .MOTO

2.UDONGO

3.UPEPO

4.MAJI

Tunapo sematabia tunamaanisha kuwa kilakitu kian tabia zake na aina za tabiaya zake pia katika hizo tabia kuna tabia zina endana na zisizo endanna  kama

Tabia ya MOTO na UPEPO hizi ni tabia zina endana katika kila aina ya mambo viumbe wenye tabia hizo wana endana katika kila aina ya mambo

Tabia ya UDONGO na MAJI nitabia zinazo endana katika kila aina ya mambo ukiwa na tatbia ya aianhizi au hauna taabia mnazo endanan nazo itakuwa mambo tofauti

 

Unapo mtaka jinni nilazima ujuwe tabia za huyo jinni na ujuwe tabia zako bila kufanya hivyo utakapo mpata jinni wa tabia tofauti na zako nilazima utakuwa kwenye matatizo kilamara

Unaweza kupofya kwenye hizo tabia na ukajuwa kila tabia inahusika na mambo gani

 

MASHARITI AINA ZA MATENDO

Kunaviumbe wanao penda viumbe wenye aina za matendo haya

1.DINI / IBADA / MAMBO DINI

2.UWASHARATI/ USHETANI

TUnapo sema aina ya matendo ya KIDINI inamaanisha kwanza jinni au huyo kiumbe sio mbaya nikiumbe mzuri wa kidini pia yeyemwnyewe huyo jinni anakuw na dini pia

Majini wanao kuwa hana mambo ya kishetani huwa wanakuwa na aina za mashariti ambayo unatakiwa kuwa nayo kwamfano

1.kutokuwa mzinifu

2.kutokuwa mwizi / tapeli wa mali zawatu

3.kutokuwa na rohombaya

4.matendo ya kishetani

Mjini wa  aina hii huwa wanakubaliana na viumbe mwenye sifa hizi

1.mtu mwenye dini

2.mtu mwenye huruma

3.mtu mwenye heshima kwa wakubwa na wadogo

4.mtu mwenye matendo mazuri

PIA KUNA MAJINI WANAP PENDA VIUMBE WENYE SIFA HIZI

1.mtu mwenye tabia mbaya

2.mtu mwenye rohombaya

3.mtu mwenye uwasharat

4.mtu asie na tabia za utu wa huruma wala msaada

Unapo taka kuwa na kiumbe yoyote nilazima uwe na kiumbe unacho endana nacho tabia  kuanamashariti mengi ila hayo nimakuu sana kunawatu wana jiuliza mbaona kunawatu ni matajiri wana mali lakini ni wenye rohombaya wanasaidia watu wana towa misaada halafu kunawatu wana kuwa wana taabia nzzuri pia wanamali halafu hawa saidi watu wala hawa oneshi kuwa wao niwatu wazuri yani mapaya ndie anaonekana ni mzuri na mzuri anaonekana ni mbaya

 

WATU HUWA HAWAJUI

Unapo muona mtu ni mzuri anamali nitajiri unatakiwa kumchunguza mtuhuyo  utuwake na roho yake na matendo yake yapo kwa watu wazuri tuu ndi anae weza kuwasaidia ukiona hasaidii watu ujuwe watu hao sio wazuri

 

Lakini utakapo muona mtu ni mbaya anasaidia watu na kujionesha kuwa yeye ni mwema ni mzuri unatakiwa kutambua mtuhuyo anapo towa misaada ujuwe kunajambo analo litaka katika watu anao wasaidia

 

USIWE NA MASHAKA KATIKA KUWA  TUMIA MAJINI AU KUWA ODOSHA MASHETANI

Kuna ushahidi mkubwa sana katika kuwatumia majini kwa ni mitume na manabii na viongozi wa dini na wazee wetu wa kale wali watumia majini katika kila jambo ili uweze kujitowa wasiwasi juu ya kuwatumia majini somahapa na pata njia za kukusaidia {KUWATUMIA VIUMBE AINA YA MAJINI KUNA USHAHIDIGANI AU USIBITISHO?}katika linki hiyo utajuwa


0 Reviews:

Contact Form

Name

Email *

Message *